Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 12:14

Ziara ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ulimwenguni Iraki

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ulimwenguni, Papa Francis, amekutana Jumamosi mjini Iraq na Ayatollah Ali al-Sistani, kiongozi wa Kiislamu wa dhehebu la Kishia.

Kikao hicho cha kihistoria kati ya papa mwenye umri wa miaka 84 na al-Sistani anayeishi akifanya ibada peke yake kimefanyika katika makazi ya kawaida ya kiongozi wa Kiislam mwenye umri wa miaka 90 katika mji mtakatifu wa Najaf.

Al-Sistani amesema Wakristo wanahaki sawa kama Wairaki wengine na lazima waishi katika mazingira ya amani.

Pandisha zaidi

16x9 Image

Jaffar Mjasiri

Ni Mwandishi na Msimamizi wa Mitandao ya Kijamii, VOASwahili

 

Makundi

XS
SM
MD
LG