Rais wa Eritrea aliyeko katika uongozi kwa miaka mingi aliwasili Ethiopia, Jumamosi, Juali 14, ikiwa ni ziara yake ya kwanza katika miaka 22 na kupokelewa kwa shangwe kubwa baada ya kupatika ufumbuzi wa kidiplomasia kati ya mataifa hayo yaliyowahi kuwa mahasimu.
Rais wa Eritrea afanya ziara ya kihistoria Ethiopia
Rais wa Eritrea Isaias Afwerki, amepokelewa na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Addis Ababa, Ethiopia, Jumamosi, July 15, 2018.
Rais wa Eritrea aliyeko katika uongozi kwa miaka mingi aliwasili Ethiopia, Jumamosi, Juali 14, ikiwa ni ziara yake ya kwanza katika miaka 22 na kupokelewa kwa shangwe kubwa baada ya kupatika ufumbuzi wa kidiplomasia kati ya mataifa hayo yaliyowahi kuwa mahasimu.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017