Ziara ya Zelenskyy imefanyika ikiwa siku 300 baada ya Russia kuivamia Ukraine mapema mwaka huu. Biden katika mkutano wake na kiongozi wa Ukraine aliahidi uungaji mkono wa Marekani pamoja na washirika wake kwa taifa hilo.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Marekani na Ujerumani waridhia kupeleka vifaru vya kivita Ukraine
-
Januari 15, 2023
Marekani, Mexico na Canada kuimiarisha ushirikiano wa biashara
-
Januari 10, 2023
Biden atimiza ahadi ya ujenzi wa miundombinu Marekani