Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 21:21

Wizara ya Kilimo Kenya yasema hali ya ukame inazidi kuleta maafa makubwa


Wizara ya Kilimo Kenya yasema hali ya ukame inazidi kuleta maafa makubwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:28 0:00

Katibu mwandamizi katika Wizara ya Kilimo Kenya anasema Wakenya zaidi ya milioni nne wanahitaji usaidizi, huku waathirika wakiwa katika kaunti 23 kame na nusu kame, huku idadi kubwa ya watoto na kina mama wakiwa na utapiamlo.

XS
SM
MD
LG