Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 19:57

Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan apigwa risasi mguuni


Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan apigwa risasi mguuni
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amepigwa risasi mguuni akiwa katika maandamano yakutaka uchaguzi wa mapema.

- Korea Kaskazini imefyatua kombora jingine huku Korea Kusini ikisema ni uchokozi usioweza kuvumiliwa.

-Rais wa Tanzania asaini mikataba kadhaa ya maendeleo na Rais wa China Xi Jinping.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG