Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 05:35

Wananchi waeleza adha ya maji ya Ziwa Tanganyika yaliovamia maeneo yao


Wananchi waeleza adha ya maji ya Ziwa Tanganyika yaliovamia maeneo yao
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:55 0:00

Wananchi waeleza kero la maeneo yao kufurika Maji ya Ziwa Tanganyika, huko eneo la Baraka, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, yanayo ongezeka kwa kasi na hivyo wamelazimika kukimbia maeneo yao na wanadai hawana msaada wowote.

XS
SM
MD
LG