Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 12:25

Majeshi ya serikali ya Congo yawarudisha nyuma wapiganaji wa M23

Wapiganaji wa M23 walitangaza ijumaa kwamba wanaondoka kutoka mstari wa mbele wa mapigano na majeshi ya serikali ya Congo. Lakini maafisa wa serikali wanasema M23 wameshindwa katika mapigano karibu na Goma.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG