Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 02, 2024 Local time: 01:02

Wamarekani waadhimisha miaka 21 tangu mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11, 2001

Rais Joe Biden aliongoza ibada kwenye jengo la Pentagon, huku Makamu Rais Kamala Harris akiungana na waombolezi mjini New York na mke wa rais Jill, aliongoza ibada Pennsylvania ili kuwakumbuka watu elfu 3 walofariki kwenye maeneo hayo.

Rais Biden aliweka shada la maua nje ya jengo ambalo ndege nambari 93 ilianguka huku mvua ikinyesha. Akiwahutubia walohudhuria sherehe hizo, alitaja jinsi wamarekani walivyoungana kujibu mashambulio hayo na kuapa kwamba “kamwe hawatoacha” kuendelea kupigana dhidi ya vitisho vya ugaidi.


Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG