Katika nchi mpya waliyopokelewa, Marekani, mamia ya wakimbizi kutoka sehemu zote duniani walikusanyika mapema mwezi Novemba kusherehekea Thanksgiving. Hawa wakimbizi walisherehehekea kwa mara ya kwanza sikukuu hii. Anila Karimzai, Mkimbizi wa Afghanistan anaeleza: “Kwa kuja hapa, najihisi vizuri na nina furaha kuwa na kila mtu, kuna watu wengine kutoka sehemu mbali mbali. Nina furaha kushiriki katika sherehe za Thanksgiving na watu wengi wanafuraha.” Thanksgiving nchini Marekani inaadhimishwa kila mwaka katika Alhamisi ya nne ya mwezi Novemba.
VOA Direct Packages
Wakimbizi wafarijika kwa kuwezeshwa kukutana na kusheherekea sikukuu ya Thanksgiving Marekani
Kiungo cha moja kwa moja
Wakimbizi kutoka kote duniani ambao wako eneo la Washington watakutana pamoja kusherehekea sikukuu ya kwanza ya kutoa shukrani, yaani Thanksgiving, nchini Marekani.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017