Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Septemba 26, 2023 Local time: 06:39
VOA Direct Packages

Wakazi wa Ohio wapinga marekebisho ya katiba kupitia kura ya Jumannne


Wakazi wa Ohio wapinga marekebisho ya katiba kupitia kura ya Jumannne
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:47 0:00

Wiki hii tunaangazia wapiga kura wa jimbo la Ohio ambao katika kura ya Jumanne wamepinga pendekezo lililopewa jina Issue 1, ikiwa na maana kwamba wamekataa marekebisho ya katiba ambayo yangefanya iwe vigumu kufanya marekebisho zaidi kwenye katiba ya jimbo hilo katika siku za nyuma.

Makundi

XS
SM
MD
LG