Hatua hii ni kutokana na hofu ya kuzuka tena mlipuko wa volcano kutokana na mitetemeko mikubwa inayotokea.
Wakazi wa Goma walazimika kukimbia milipuko ya mlima Nyiragongo
- Abdushakur Aboud
Mkuu wa kijeshi wa Kivu kaskazini amewaamrisha wakazi wa Goma mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuondoka mara moja.
![Wakazi wa Goma wakiondoka kwa hofu ya kuzuka tena mlipuko wa mlima Nyarigongo](https://gdb.voanews.com/1bfe650f-27cf-4a2d-a6d8-f8c317107929_w1024_q10_s.jpg)
1
Wakazi wa Goma wakiondoka kwa hofu ya kuzuka tena mlipuko wa mlima Nyarigongo
![Wakazi wa Goma wakiondoka ni vitu kidogo waloweza kubeba baada ya kuamrishwa kuondoka](https://gdb.voanews.com/eea04c81-83e0-4ed4-94f4-054938c027ac_w1024_q10_s.jpg)
2
Wakazi wa Goma wakiondoka ni vitu kidogo waloweza kubeba baada ya kuamrishwa kuondoka
![Wakazi wa Goma wakiondoka kwa boti baada ya kulazimishwa kuondoka Mei 27, 2021](https://gdb.voanews.com/32c7ba23-49d1-4f25-a99a-79165f363c74_w1024_q10_s.jpg)
3
Wakazi wa Goma wakiondoka kwa boti baada ya kulazimishwa kuondoka Mei 27, 2021
![Wakazi wa Goma wakipanda meli baada ya kuamrishwa kuondoka kwa hofu ya kuzuka mlipuko mwengine](https://gdb.voanews.com/0b97cdc2-5390-49aa-9c21-d02f4fef0d7b_w1024_q10_s.jpg)
4
Wakazi wa Goma wakipanda meli baada ya kuamrishwa kuondoka kwa hofu ya kuzuka mlipuko mwengine