Hatua hii ni kutokana na hofu ya kuzuka tena mlipuko wa volcano kutokana na mitetemeko mikubwa inayotokea.
Wakazi wa Goma walazimika kukimbia milipuko ya mlima Nyiragongo
- Abdushakur Aboud
Mkuu wa kijeshi wa Kivu kaskazini amewaamrisha wakazi wa Goma mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuondoka mara moja.
1
Wakazi wa Goma wakiondoka kwa hofu ya kuzuka tena mlipuko wa mlima Nyarigongo
2
Wakazi wa Goma wakiondoka ni vitu kidogo waloweza kubeba baada ya kuamrishwa kuondoka
3
Wakazi wa Goma wakiondoka kwa boti baada ya kulazimishwa kuondoka Mei 27, 2021
4
Wakazi wa Goma wakipanda meli baada ya kuamrishwa kuondoka kwa hofu ya kuzuka mlipuko mwengine
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017