Maafisa wa uchaguzi wanasema kumekuwepo na wapigaji kura wengi walojitokeza katika uchaguzi unaofuatiliwa kwa karibu kupima mfumo wa kidemokrasia wa taifa hilo la Afrika Magharibi.
Wagambia wapiga kura kwenye uchaguzi wa rais
- Abdushakur Aboud
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 27 wananchi wa Gambia washiriki kwenye uchaguzi bila ya hofu kutokana na kutokuwepo na jina la kiongozi wa mabavu Yahya Jammeh.

5
Mpiga kura atoka kwenye kibanda cha kupiga kura mjini Banjul, Gambia

6
Mpiga kura aweka wino kwenye kidole baada ya kupiga kura mtaani Kanifing, Banjul

7
maafisa wa uchaguzi wa Gambia waanza kuhesabu kura za uchaguzi wa rais mjini Banjul, Gambia

8
Maafisa wa uchaguzi wafunga sanduku za kura baada ya upigaji kura kukamilika
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017
Facebook Forum