Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 08:16

Wagambia wapiga kura kwenye uchaguzi wa rais

Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 27 wananchi wa Gambia washiriki kwenye uchaguzi bila ya hofu kutokana na kutokuwepo na jina la kiongozi wa mabavu Yahya Jammeh.

Maafisa wa uchaguzi wanasema kumekuwepo na wapigaji kura wengi walojitokeza katika uchaguzi unaofuatiliwa kwa karibu kupima mfumo wa kidemokrasia wa taifa hilo la Afrika Magharibi.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG