Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 00:04

Wademokrat wachukuwa uongozi wa Bunge la Marekani - Congress

Utawala wa serikali ya Marekani uliyo gawanyika unarejea kazini Marekani Alhamisi wakati Bunge jipya la Marekani likiapishwa.

Baada ya miaka miwili ambapo Warepublikan wamekuwa wakiidhibiti White House, Baraza la Seneti na Baraza la Wawakilishi, Wademokrat ndio walio wengi hivi sasa katika Baraza la Wawakilishi.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG