Janga la corona limesababisha mambo menage kusitishwa katika kila pembe ya dunia ikiwa ni pamoja michezo na mashindano mbali mbali. Hali hiyo imesababisha baadhi ya wachezaji na mameneja walioambukizwa virusi hivyo kujitenga na timu zao wakati wanapokea matibabu. Miongoni mwa wachezaji maarufu walioambukizwa ni mchezaji wa Juventus' Cristiano Ronaldo na Neymar wa PSG.
Wachezaji wa kimataifa wa kandanda wanaogua COVID-19
Mambukizo ya virusi vya corona yakiingia katika awamu ya pili kwenye nchi nyingi za dunia, kuna baadhi ya wachezaji mashuhuri wa kandanda wanaougua ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi hivyo.
9
Sadio Mane wa Liverpool akishangilia baada ya kufunga goli wakati wa mechi ya Ligi ya Premier ya Uingereza kati ya Chelsea na Liverpool katika Uwanja wa Stamford Bridge.(Michael Regan/Pool via AP, File)
Mchezaji wa mpira wa miguu wa Senegal ameambukizwa virusi vya corona mapema mwezi Oktoba katika michuano ya Ligi ya Premier ya Uingereza. Mane hivi karibuni alirejea katika mafunzo baada ya yeye mwenye kujitenga.
Mchezaji wa mpira wa miguu wa Senegal ameambukizwa virusi vya corona mapema mwezi Oktoba katika michuano ya Ligi ya Premier ya Uingereza. Mane hivi karibuni alirejea katika mafunzo baada ya yeye mwenye kujitenga.