Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:13

Wabunge wa Misri wakutana Cairo kujadili hatma ya kupeleka vikosi Libya

Bunge la Misri katika kikao chake cha ndani Julai 20, ilipitisha uwezekano wa kupeleka vikosi nchini Libya kumuunga mkono Khalifa Haftar ambaye ni rafiki wa Cairo, iwapo vikosi vinavyosaidiwa na Uturuki vitauteka tena mji wa Sirte.

Wakati huohuo wafuasi wa kiongozi wa wanamgambo wa Libya Khalifa Haftar walishiriki katika mkusanyiko wa umma upende wa mashariki wa bandari ya mji wa Benghazi, Libya Julai 5, 2020, wakipinga hatua ya Uturuki kuingilia kati masuala ya Libya.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG