Wakati huohuo wafuasi wa kiongozi wa wanamgambo wa Libya Khalifa Haftar walishiriki katika mkusanyiko wa umma upende wa mashariki wa bandari ya mji wa Benghazi, Libya Julai 5, 2020, wakipinga hatua ya Uturuki kuingilia kati masuala ya Libya.
Wabunge wa Misri wakutana Cairo kujadili hatma ya kupeleka vikosi Libya
Bunge la Misri katika kikao chake cha ndani Julai 20, ilipitisha uwezekano wa kupeleka vikosi nchini Libya kumuunga mkono Khalifa Haftar ambaye ni rafiki wa Cairo, iwapo vikosi vinavyosaidiwa na Uturuki vitauteka tena mji wa Sirte.

1
Wabunge wa Misri members wakikutana Cairo on Julai 20, 2020. - Bunge la nchi hiyo katika kikao chake cha ndani Julai 20, ilipitisha uwezekano wa kupeleka vikosi nchini Libya kumuunga mkono Khalifa Haftar ambaye ni rafiki wa Cairo, iwapo vikosi vinavyosaidiwa na Uturuki vitauteka tena mji wa Sirte. (Photo by - / AFP)

2
Magari ya "Tripoli Brigade", kikundi cha wanamgambo kinachounga mkono serikali inayotambuliwa kimataifa ya Umoja wa Taifa (GNA), wakiwa katika uwanja wa mashahidi makao makuu ya GNA ambayo yako. Tripoli Julai 10, 2020. (Photo by Mahmud TURKIA / AFP)

3
FILE - Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu, kulia and Fayez Sarraj, Mkuu wa serikali ya Libya inayotambuliwa kimataifa wakiwa katika mazungumzo Tripoli, Libya, June 17, 2020.

4
Wafuasi wa kiongozi wa wanamgambo wa Libya Khalifa Haftar washiriki katika mkusanyiko wa umma upende wa mashariki wa bandari ya mji wa Benghazi, Libya Julai 5, 2020. Mkusanyiko huo unapinga hatua ya Uturuki kuingilia kati masuala ya Libya. (Photo by Abdullah DOMA / AFP)