Wakati huohuo wafuasi wa kiongozi wa wanamgambo wa Libya Khalifa Haftar walishiriki katika mkusanyiko wa umma upende wa mashariki wa bandari ya mji wa Benghazi, Libya Julai 5, 2020, wakipinga hatua ya Uturuki kuingilia kati masuala ya Libya.
Wabunge wa Misri wakutana Cairo kujadili hatma ya kupeleka vikosi Libya
Bunge la Misri katika kikao chake cha ndani Julai 20, ilipitisha uwezekano wa kupeleka vikosi nchini Libya kumuunga mkono Khalifa Haftar ambaye ni rafiki wa Cairo, iwapo vikosi vinavyosaidiwa na Uturuki vitauteka tena mji wa Sirte.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017