Baridi kali kuwahi kutokea Marekani

1
Mwanamke anatembea katika hali ya baridi kali mjini Chicago, Illinois, Jan. 6, 2014.

2
Mtu akitembea katika moshi wa baridi unaotokea katika Ziwa Michigan huko Chicago, Illinois, Jan. 6, 2014.

3
Matt Frame akiondoa barafu kutoka katika gari kwenye kiwanda cha magari cha Ray Laethem Buick-GMC huko Detroit, Michigan, Jan. 6, 2014.

4
Wasafiri wakiwa wamejikusanya kwenye taa zenye joto katika moja ya njia maarufu za Chicago "El" huku wakipigwa na upepo wa baridi kali, Jan. 6, 2014.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017