Hii ni kufuatia malalamiko ya wananchi wakidadisi ni kwa nini M23 imekuwa na nguvu wakati DRC inawashirika wake wakiwemo Umoja wa Mataifa.
UN na jeshi la Congo lashirikiana kuwadhibiti waasi wa M23
Jeshi la Umoja wa Mataifa la Monusco nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wameanza ushirikiano mpya na jeshi tiifu la serikali ya nchi hiyo katika operesheni dhidi ya waasi wa M23 wilayani Rutshuru, Kivu kaskazini.

1
The Joint Congo army and UN Organization Stabilization Mission in the DRC (MONUSCO) crackdown on M23 rebels. Photo by Austere Malivika.

2
The Joint Congo army and UN Organization Stabilization Mission in the DRC (MONUSCO) crackdown on M23 rebels. Photo by Austere Malivika.

3
The Joint Congo army and UN Organization Stabilization Mission in the DRC (MONUSCO) crackdown on M23 rebels. Photo by Austere Malivika.

4
The Joint Congo army and UN Organization Stabilization Mission in the DRC (MONUSCO) crackdown on M23 rebels. Photo by Austere Malivika.