Maafisa wa serikali wanasema wanaamini zaidi ya watu elfu 10 waliuwawa katika visiwa vya kati vya Leyte na Samar ambako kimbunga Haiyan kilifanya uharibifu mkubwa.
Kimbunga Haiyan cha sababisha uharibifu na maafa makubwa Ufilipino
1
Mama na watoto wake wanajificha nyuma ya jengo wakati kimbunga kikubwa cha Haiydan kina pita katika mji wa Cebu katikati ya Ufilipino, Nov. 8, 2013.
2
Mkazi mmoja anqatembea kando ya vifusi vya nyumba zilzioharibiwa na kimbunga kikubwa cha Haiyan katika mji wa Tacloban, jimbo la Leyte katikati ya Ufilipino.Nov. 9, 2013
3
Watu walonusurika wakitathmini uharibifu kutokana na kimbunga kikubwa cha Haiyan kilichoharibu mji wa Tacloban katikati ya Ufilipino, Nov. 9, 2013.
4
Picha kutoka hewani inayoonesha nyumba zilizoharibiwa kabisa kwenye mji wa pwani baada ya kimbunga kikubwa cha Haiyan kuharibu katikati ya Ufilipino. Nov. 9, 2013.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017