UN imefanya Mkutano wake wa kwanza wa kimataifa kuhusu maji baada ya miongoni kadhaa tangu ule uliofanyika miaka ya 70. Leo katika studio zetu tumetembelewa na waziri wa maji wa Tanzania Juma Aweso ambaye alihudhuria Mkutano huo.
UN imefanya Mkutano wake wa kwanza wa kimataifa kuhusu maji baada ya miongoni kadhaa tangu ule uliofanyika miaka ya 70. Leo katika studio zetu tumetembelewa na waziri wa maji wa Tanzania Juma Aweso ambaye alihudhuria Mkutano huo.