.
Makumbusho ya Wamarekani Weusi yafunguliwa, Washington

1
Mke wa rais Barack Obama, Michelle akimkumbatia rais wa zamani George Bush aliyewezesha ujenzi wa jumba la makumbusho la wamarekani weusi

2
Jengo la makumbusho la Wamarekani weusi mjini Washington.

3
Kibanda cha mtumwa katika shamba la zamani la Point of Pines ni moja ya vielelezo katika Jumba la Makumbusho ya Historia na Utamaduni wa Wamarekani wenye asili ya Afrika, Washington, Sept. 14, 2016.

4
Picha hii iliyochukuliwa Julai 18, 2016, inaonyesha kibanda cha mtumwa kutoka Poolesville, Maryland.