Tinubu mwenye umri wa miaka 71 anatokea eneo la kusini anachukua madaraka kutoka kaskazini mwa nchi hiyo kwa mtangulizi wake mwenye umri wa miaka 80 wakati taifa hilo lenye idadi kubwa ya watu barani Afrika likikabiliwa na matatizo ya kiuchumi na mzozo wa kiusalama. Picha zote na Mwandishi wa Idhaa ya Hausa ya Sauti ya Amerika Medina Dauda.
Shughuli mbalimbali zilizofanyika katika sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Nigeria Tinubu
Mwanasiasa wa muda mrefu Bola Tinubu aliapishwa kuwa rais wa Nigeria siku ya Jumatatu akichukua nafasi ya Muhammadu Buhari, Jenerali wa zamani ambaye ameondoka kwenye kiti hicho baada ya kutumikia mihula miwili madarakani.

1
Sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu

2
Sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu

3
Sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu

4
Sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu