Eneo la bunge la Marekani U.S. Capitol liliwekwa katika hali ya tahadhari Alhamisi mchana baada ya milio ya bunduki kuripotiwa nje ya jengo hilo, mtu mmoja inasemekana amejeruhiwa.
Milio ya Risasi yasikika nje ya Jengo la Bunge Marekani

1
Watu wakikimbia kuokoa maisha yao baada ya milio ya risasi kulia Capitol Hill mjini Washington, D.C., Oct. 3, 2013.

2
Watu wakiwa wamelala chini kukwepa baada ya kusikia milio ya bunduki mjini Washington.

3
Polisi wakifuatilia hali hiyo Capitol Hill baada ya milio ya bunduki kuripotiwa karibu na mitaa ya 2nd Street NW na Constitution Avenue.

4
Polisi wa jengo la bunge wakiwa katika hali ya tahadhari Capitol Hill. (Diaa Bekheet/VOA)
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017