Eneo la bunge la Marekani U.S. Capitol liliwekwa katika hali ya tahadhari Alhamisi mchana baada ya milio ya bunduki kuripotiwa nje ya jengo hilo, mtu mmoja inasemekana amejeruhiwa.
Milio ya Risasi yasikika nje ya Jengo la Bunge Marekani
![Watu wakikimbia kuokoa maisha yao baada ya milio ya risasi kulia Capitol Hill mjini Washington, D.C., Oct. 3, 2013.](https://gdb.voanews.com/40265583-0d95-424d-8e77-8abdceaba187_w1024_q10_s.jpg)
1
Watu wakikimbia kuokoa maisha yao baada ya milio ya risasi kulia Capitol Hill mjini Washington, D.C., Oct. 3, 2013.
![Watu wakiwa wamelala chini kukwepa baada ya kusikia milio ya bunduki mjini Washington.](https://gdb.voanews.com/6680b812-0533-4aa6-8efb-3a741624ab71_w1024_q10_s.jpg)
2
Watu wakiwa wamelala chini kukwepa baada ya kusikia milio ya bunduki mjini Washington.
![Polisi wakifuatilia hali hiyo Capitol Hill baada ya milio ya bunduki kuripotiwa karibu na mitaa ya 2nd Street NW na Constitution Avenue.](https://gdb.voanews.com/9e42736f-171e-4eaf-a5a8-c9e2a5a20de9_w1024_q10_s.jpg)
3
Polisi wakifuatilia hali hiyo Capitol Hill baada ya milio ya bunduki kuripotiwa karibu na mitaa ya 2nd Street NW na Constitution Avenue.
![Polisi wa jengo la bunge wakiwa katika hali ya tahadhari Capitol Hill. (Diaa Bekheet/VOA)](https://gdb.voanews.com/dec1b8eb-fc57-4bf4-9668-a52c7f4e80df_w1024_q10_s.jpg)
4
Polisi wa jengo la bunge wakiwa katika hali ya tahadhari Capitol Hill. (Diaa Bekheet/VOA)