Eneo la bunge la Marekani U.S. Capitol liliwekwa katika hali ya tahadhari Alhamisi mchana baada ya milio ya bunduki kuripotiwa nje ya jengo hilo, mtu mmoja inasemekana amejeruhiwa.
Milio ya Risasi yasikika nje ya Jengo la Bunge Marekani
5
Helikopta ya polisi ikiwa imembeba polisi aliyejeruhiwa inaondoka katika maeneo ya bunge Capitol Hill dakika chache baada ya risasi kulia. (Diaa Bekheet/VOA)
6
Watalii wakishangaa kufuatia tukio la upigaji risasi nje ya Capitol Hill. (Sandra Lemaire/VOA)
7
Bunge la Marekani lawekwa katika hali ya tahadhari baadaya risasi kulia karibu na majengo yake. (Diaa Bekheet/VOA)
8
Muonekano huu kutoka ofisi za jengo la Russell katika baraza la Seneti unaonyesha polisi wakikusanyika karibu na eneo la tukio.