Muda mfupi baada ya kutokea shambulizi ambalo liliwajeruhi polisi wa utawala 5 Garissa, bomu hilo liligunduliwa wakati polisi walipokuwa wako katika harakati za kupambana na watu hao ambao wanadaiwa kuwa ni magaidi.
Mwandishi wetu nchini Kenya amesema baada ya bomu hilo kugunduliwa, maafisa wa Jeshi la Kenya (KDF) waliitwa kuja kulitegua.
Katika pambano hilo kati ya polisi na magaidi hao polisi waliweza kuwasambaratisha watu hao na kurejesha utulivu katika eneo hilo.
Imetayarishwa na Mwandishi wetu Hubbah Abdi, Kenya
Mwandishi wetu nchini Kenya amesema baada ya bomu hilo kugunduliwa, maafisa wa Jeshi la Kenya (KDF) waliitwa kuja kulitegua.
Katika pambano hilo kati ya polisi na magaidi hao polisi waliweza kuwasambaratisha watu hao na kurejesha utulivu katika eneo hilo.
Imetayarishwa na Mwandishi wetu Hubbah Abdi, Kenya