Sepp Blatter miaka yake katika uongozi wa FIFA
Sepp Blatter miaka yake FIFA
5
Sepp Blatter akikaribisha wachezaji Monterrey kabla ya mechi baina ya Al Ahly SC na Monterrey FC katika mashindano ya kombe la dunia la klabu Morocco, Disemba 18, 2013.
6
Sepp Blatter akipeana mkono na Sheik Mohammed bin Hamad al-Thani, mwenyekiti wa kamati ya Qatar kuwania uwenyeji wa fainali za mwaka 2022 mjini Doha, Qatar, Novemba 9, 2013.
7
Sepp Blatter na rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton mjini Munich, Disemba 1, 2005.
8
Sepp Blatter akipiga picha na watoto wa shule wakati alipotembelea chama cha mpira wa miguu cha Zimbabwe July 4, 2011.