Wakristo wote duniani waadhimisha siku ya kusulubiwa na kufufuka kwa Yesu Kristo kwa ibada na sala mbali mbali.
Wakristo kote dunia waadhimisha sikukuu ya Pasaka
9
Mahujaji wa kikristo wakihudhuria ibada ya Ijuma Kuu mjini Jerusalem Friday, April 14, 2017.
10
Waumini wa Kikristo wakirudia kitendo cha Yesu kusulubiwa kwenye msalaba mjini Jammu India.
11
Mabaki ya jengo la makumbusho la Colosseum Rome ambako Papa Francis alihudhuria Ibada ya Ijuma Kuu, April 14, 2017.
12
Msudan Kusini asiyejulikana ni nani akivaa nguo kama Yesu Christo mjini Juba, Sudan Kusini.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017