Sherehe za wiki nzima zinafanyika kuwakumbuka walouliwa wakati wa mauwaji ya siku 100 nchini Rwanda mwaka 1994
Rwanda yaadhimisha miaka 20 tangu mauwaji ya halaiki
5
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ban Ki Moon, Rais Paul Kagame, wa Rwanda na mkewe Jeannette Kagame pamoja na mwenkiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika AU Nkosazana Dlamini-Zuma wanashiriki katika sherehe za kuadhimisha miaka 20 ya mauwaji halaiki mjini Kigali, April 7, 2014.
6
Watoto wa Rwanda wasikiliza na kuomba dua wakati wa ibada ya Jumapili katika kanisa la Saint-Famille Catholic, mahala ambapo watu wengi waliuliwa wakati ya mauwaji ya 1994 katika mji mkuu wa Kigali, April 6, 2014.
7
Waombolezi wa Kinyarwanda wakihudhuria ibada katika kanisa la Evangelical Restoration Church, Kimisagara, siku moja kabla ya kuadhimisha miaka 20 ya mauwaji ya 1994 mjini, April 6, 2014.
8
Picha za watu wa familia kadhaa walouliwa zikiwa zimetundikwa katika kituo cha makumbusho ya mauwaji halaiki ya Rwanda mjini Kigali, April 5, 2014.