Raia wawili wa New Zeland ambao ni mapacha wenye umri wa miaka 12 , wamepata tuzo ya inayojulikana kama Shine-A-Light award kwa ajili ya kusaidia maktaba za shule za vijijini nchini Zimbabwe.
Vitabu kwa ajili ya maktaba za vijijini Zimbabwe

5
Ropafadzo Kunaka amejiunga na baba yake Drieden, kuchangisha fedha kwa ajili ya maktaba za vijini nchini Zimbabwe.

6
jumuiya za ndani zinatoa mchango wa ukosoaji katika kujenga uwezo wa maktaba za vijijini.

7
Moja ya maktaba ikiwa katika ukarabati nchini Zimbabwe.

8
Baadhi ya watu wanaotafuta vitabu kwa ajili ya maktaba za vijijini nchini Zimbabwe.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017