Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 09:28

Watoto wa kirohingya wakabiliwa na matatizo ya msongo wa mawazo


Watoto wa kirohingya wakabiliwa na matatizo ya msongo wa mawazo
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:51 0:00

Maelfu ya wakimbizi wakirohingya waliathirika vibaya pale wanajeshi wa Myanmar walipoanzisha operesheni ya kikatili ya kuwatokomeza hapo Agasti mwaka 2017, na kuwapelekea warohingya kukimbilia nchi jirani ya Bangladesh. Tukio hilo lilipelekea wakimbizi hao kukumbwa na madhara makubwa ya kiakili.

XS
SM
MD
LG