Watoto wa kirohingya wakabiliwa na matatizo ya msongo wa mawazo
Maelfu ya wakimbizi wakirohingya waliathirika vibaya pale wanajeshi wa Myanmar walipoanzisha operesheni ya kikatili ya kuwatokomeza hapo Agasti mwaka 2017, na kuwapelekea warohingya kukimbilia nchi jirani ya Bangladesh. Tukio hilo lilipelekea wakimbizi hao kukumbwa na madhara makubwa ya kiakili.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum