Street clashes broke out Monday in Baltimore, Maryland, just hours after the funeral of 25-year-old Freddie Gray, a black man who died from a mysterious spinal injury sustained while in police custody earlier this month.
Ghasia za zuka Baltimore baada ya mazishi ya Freddie Gray

1
Gari la polisi likiwaka moto wakati wa ghasia kufuatia maziko ya Freddie Gray mjini Baltimore, April 27, 2015.

2
Mwandamanaji akipita mbele ya polisi akibeba tufali wakati wanakabiliana na watu wanaowatupia vitu baada ya maziko ya Freddie Gray mjini Baltimore, April 27, 2015.

3
Muandamanaji mmoja akiruka ruka juu ya gari la polisi lililoharibiwa wakati wa ghasia za Baltimore, Maryland, April 27, 2015.

4
Wazima moto wanapambana na moto mkubwa kwenye jengo, uloaswa na vijana walozusha ghasia katika mji wa Baltimore, April 27, 2015.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017