Wamarekani wamepokea kwa hisia tofauti uamuzi wa mahakama ya Florida kumkuta bila hatia George Zimmerman aliyekabiliwa na kesi ya kumwua kijana wa miaka 17 Trayvon Martin
Uamuzi katika kesi ya Zimmerman wazusha upinzani
![Mwanamke akipiga mayowe huku waandamanaji wakidai haki kwa Trayvon Martin wakati wakiandamana katika eneo la Times Square mjini New York's Union, Julai 14, 2013.](https://gdb.voanews.com/e4210013-1eb6-47e8-84b9-a5020f58a81e_w1024_q10_s.jpg)
1
Mwanamke akipiga mayowe huku waandamanaji wakidai haki kwa Trayvon Martin wakati wakiandamana katika eneo la Times Square mjini New York's Union, Julai 14, 2013.
![Maelfu ya watu wakiandamana Times Square New York baada ya George Zimmerman kukutwa hana hatia na mahakama ya Florida, July 14, 2013.](https://gdb.voanews.com/a8d4b1dc-421e-445b-b3d4-eeab0dbefa21_w1024_q10_s.jpg)
2
Maelfu ya watu wakiandamana Times Square New York baada ya George Zimmerman kukutwa hana hatia na mahakama ya Florida, July 14, 2013.
![Waandamanaji wakitembea katika mtaa wa Lower East Side mjini New York huku wakiwa wameshikilia sanamu la Trayvon Martin wakati wa maandamano baada ya kuachiwa kwa George Zimmerman, July 14, 2013.](https://gdb.voanews.com/0b8a5683-99be-43fd-81f9-136d139c6c41_w1024_q10_s.jpg)
3
Waandamanaji wakitembea katika mtaa wa Lower East Side mjini New York huku wakiwa wameshikilia sanamu la Trayvon Martin wakati wa maandamano baada ya kuachiwa kwa George Zimmerman, July 14, 2013.
![Waandamanaji wakiwa wamekusanyika Union Square mjini New York, July 14, 2013.](https://gdb.voanews.com/bd232e5b-d6c1-488a-8012-52adbd8c8be8_w1024_q10_s.jpg)
4
Waandamanaji wakiwa wamekusanyika Union Square mjini New York, July 14, 2013.