Rawlings aliyefariki November 12, 2020, atakumbukwa kama kiongozi aliyeongoza mapinduzi ya kijeshi nchini humo, mara mbili na baadaye kuleta mfumo wa demokrasia kwa taifa hilo la Afrika Magharibi.
Rais wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings afariki akiwa na umri wa miaka 73
- Abdushakur Aboud
Kiongozi wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings, atakumbukwa kwa kudumisha demokrasia na kuleta utulivu nchini mwake pamoja na kukuza uhusiano wa kimataifa.
5
Marais wa zamani J. Rawlings wa Ghana, O. Obasanjo wa Nigeria na T. Mbeki wa Afrika Kusini
6
Marais Nelson Mandela wa Afrika Kusini na Jerry Rawlings wa Ghana mjini Ouagadougou kwenye mkutano wa OAU
7
Malkia Elizabeth wa Uingereza na Rais Jerry Rawling nje ya bunge la Ghana mjini Accra Novemba 1999
8
Marais wa zamani Jerry Rawlings wa Ghana na Thabo Mbeki wa Afrika Kusini mjini Accra
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017