Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 27, 2025 Local time: 23:07

Rais Trump asema anataka Marekani ichukue umiliki wa Gaza


Rais Trump asema anataka Marekani ichukue umiliki wa Gaza
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais Donald Trump amesema anataka Marekani ichukue umiliki wa Gaza ikiwa ni msimamo baada ya taarifa zake za awali za kuwalazimisha wakazi wa Gaza kuhamishiwa nchi jirani.

Umoja wa Mataifa unataka uwanja wa ndege kufunguliwa mashariki ya Goma.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG