Kiongozi huyo msitaafu alifariki dunia Mei 12, 2023 katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam, alipokuwa anapatiwa matibabu baada ya kuugua ghafla.
Rais Samia na viongozi mbalimbali wakishiriki kuuwaga mwili wa hayati Membe
Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi mbalimbali wameshiriki Jumapili katika Viwanja vya Karimjee mjini Dar es Salaam kuuwaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, hayati Bernard Membe, katika awamu ya nne, ya Rais msitaafu Jakaya Kikwete.

5
Mwili wa Hayati Bernard Kamilius Membe ukiwasili katika viwanja vya Karimjee kwa ajili ya kutoa heshima ya mwisho.