Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Septemba 27, 2023 Local time: 21:32

Rais Samia na viongozi mbalimbali wakishiriki kuuwaga mwili wa hayati Membe

Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi mbalimbali wameshiriki Jumapili katika Viwanja vya Karimjee mjini Dar es Salaam kuuwaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, hayati Bernard Membe, katika awamu ya nne, ya Rais msitaafu Jakaya Kikwete.

Kiongozi huyo msitaafu alifariki dunia Mei 12, 2023 katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam, alipokuwa anapatiwa matibabu baada ya kuugua ghafla.


Makundi

XS
SM
MD
LG