Papa Francis ametoa wito wa Umoja huko Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuwataka wananchi kutoruhusu tofauti za kidini kuwagawanya, akiwa katika kituo cha mwisho cha ziara yake ya Afrika.
Papa Francis Atembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
1
Rais Museveni akimpa mkono hasimu wake wa kisiasa Besigye, kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25
2
Papa Francis akishangiliwa na wakazi katika kambi ya wakimbizi aliyoitembelea mjini Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati siku ya Jumapili, Nov. 29, 2015.
3
Watoto wanaomsubiri Papa Francis katika kambi ya wakimbizi mjini Bangui wabeba karatasi inayotowa wito wa amani nchini mwao.
4
Watoto wakijaribu kumpa mkono Papa Francis alipotembelea kambi ya wakimbizi mjini Bangui.
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017