Papa Francis ametoa wito wa Umoja huko Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuwataka wananchi kutoruhusu tofauti za kidini kuwagawanya, akiwa katika kituo cha mwisho cha ziara yake ya Afrika.
Papa Francis Atembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
5
Papa Francis akimbariki mtoto alip[otembelea kambi ya wakimbizi mjini Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati.
6
Walinda amani wa Umoja wa Mataifa walinda barabara kabla ya kuwasili Papa Francis huko Bangui.
7
Wanawake wenye furaha baada ya kumona Papa Francis alipowasili mjini Bangui siku ya Jumapili.
8
Papa Francis nawasili Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati, siku ya Jumapili kituo cha mwisho cha ziara yake ya mataifa matatu ya Afrika.
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017