Waislamu wakusanyika Mecca katika siku za mwisho za Hajj

1
Mahujaji wakusanyika kwenye mlima Arafat katibu na mji mtakatifu wa Mecca wakiomba dua na kutekeleza ibada muhimu katika Hajj mahala Mtume Mohamed (SAW) alitoa hotuba yake ya mwisho, Oct. 14, 2013.

2
Mahujaji wakislamu wanaswali kwenye mlima Arafat karibu na mji mtakatifu wa Mecca, Saudi Arabia, Oct. 14, 2013.

3
A Muslim pilgrim touches a marker at the top of a rocky hill called the Mountain of Mercy, on the Plain of Arafat near the holy city of Mecca, Saudi Arabia, Oct. 14, 2014.

4
Mahujaji wakiomba dua kwenye mlango wa Al- Kabaa, jengo jeusi kati kati ya Mskiti mkuu wa mji wa Mecca ambalo waislamu wote duniani kuelekea wanaposwali, Oct. 13, 2013.