Waislmu katika sehemu mbali walaani viteno viovu vinayofanywa na magaidi.
Waislamu walaani vitendo vya ugaidi

1
Jue Jue Than akipigwa picha na bango la kulaani ugaidi huko Myanmar

2
Watu wanaasha michuma rangi za bendera ya Ufaransa katika uwanja wa Sant Jaume mjini Barcelona, Hispania, November 16, 2015. Wakiwa na bango linaloeleza kwamba "Uislamu si Ugaidi".

3
Mwanamke akisimama karibu na mishuma na mauwa akitoa heshima zake kwea waathiriwa wa mashambulizi ya Paris nje ya Ubalozi wa Ufaransa mjini Teheran. November 14, 2015.

4
Wanaharakati wa kind mimosa la kislamu huko Calcutta India, wakibeba mabango kulaani mashambulizi ya kigaidi ya Paris, November 18, 2015.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017