Hijja ni nguzo ya tano katika Uislam ambayo inamlazimisha kila muislam mwanamke na mwanaume mwenye uwezo na afya njema kutekeleza ibada hiyo mara moja katika umri wake. Mahujaji hufanya safari kwenda kutekeleza ibada hiyo nchini Saudi Arabia
Msimu wa Hija : Kuwasili mahujaji Msikiti Mtukufu wa Makka
Mahojaji waanza kuwasili mjini Makka, Saudi Arabia, Jumapili kwa ajili ya kutekeleza ibada ya HIjja
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017