Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 11:27

Msimu wa Hija : Kuwasili mahujaji Msikiti Mtukufu wa Makka

Mahojaji waanza kuwasili mjini Makka, Saudi Arabia, Jumapili kwa ajili ya kutekeleza ibada ya HIjja

Hijja ni nguzo ya tano katika Uislam ambayo inamlazimisha kila muislam mwanamke na mwanaume mwenye uwezo na afya njema kutekeleza ibada hiyo mara moja katika umri wake. Mahujaji hufanya safari kwenda kutekeleza ibada hiyo nchini Saudi Arabia

Makundi

XS
SM
MD
LG