Wafuasi wa Morsi wakaidi utawala wa dharura Misri
5
Mwanachama wa Muslim Brotherhood akipiga makelele baada ya kujeruhiwa mbele ya kituo cha polisi cha Azbkya wakati wa mapambano kwenye uwanja wa Ramses, Cairo, August 16, 2013.
6
Raia wa Misri wamelala chini baada ya kujeruhiwa kutokana na mapambano kati ya vikosi vya usalama na wafuasi wa rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Morsi kwenye uwanja wa Ramses Square, Cairo, August 16, 2013.
7
Supporters of ousted Egyptian President Mohamed Morsi gather in Cairo, August 16, 2013.
8
A supporter of deposed Egyptian President Mohamed Morsi shouts slogans during a protest outside Al-Fath Mosque in Ramses Square, Cairo, August 16, 2013.