Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 14:36

#Olympics2020 #voaolympics : Michuano ya mchezo wa masumbwi katika Olimpiki Tokyo 2020

Mengue Ayissi Albert wa Cameroon alinyakua ushindi wake wa kwanza dhidi ya Dlamini Thabiso wa Swaziland katika pambano la uzito wa Welter (63-69kg) akipewa ushindi na majaji wote wanne.

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ilianza kwa kupoteza ushindi katika michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020 baada ya Marcelat Sakobi kutolewa na mpiganaji masumbwi wa Ufilipino Nesthy Petecio katika pambano la wanawake Jumamosi Julai 24. Majaji wote watano walithibitisha kutolewa kwake baada ya shindano la raundi tatu kwa uzito wa Feather (54-57kg).

Endelea kuangalia pambano hilo katika picha...


Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG