Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 02, 2024 Local time: 05:21

Mawakili wa Rais wa zamani Trump waanza kazi ya utetezi katika kesi ya jinai yenye chunguzi kadhaa


Mawakili wa Rais wa zamani Trump waanza kazi ya utetezi katika kesi ya jinai yenye chunguzi kadhaa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Baada ya Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kufikishwa mahakamani New York na kusomewa mashtaka 34 ya jinai mawakili wake walianza kazi ya utetezi ikiwa ni moja ya chunguzi kadhaa zinazo mkabili Trump.

XS
SM
MD
LG