Waziri Mkuu wa Uingereza Margaret Thatcher afariki dunia akiwa na umri wa miaka 87 kutokana na kiharusi.
Margaret Thatcher, 1925-2013
1
Waziri Mkuu wa zamani Margaret Thatcher akitafakari kidogo wakati wa mkutano na waandishi habari mjini London, Juni 10, 1987.
2
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Margaret Thatcher akisubiri kumsalimia Papa Benedict katika ukumbi wa kanisa la Westminster jijini London, Sept. 17, 2010.
3
Former British Prime Minister Margaret Thatcher gestures to members of the media as she stands on her house doorstep, following her return home from hospital, in central London, June 29, 2009.
4
Former British Prime Minister Margaret Thatcher and Falklands veterans take part in a march in London, during a service to commemorate the 25th anniversary of the Falkland Islands conflict, June 17, 2007.