Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Machi 22, 2025 Local time: 09:48

Marais wastaafu Marekani wahudhuria ibada ya kumuaga Barbara Bush

Ibada ya kumuaga marehemu Barbara Bush imefanyika Jumamosi katika Kanisa la Mtakatifu Martin Episcopal kwenye mji wa Houston, Jimbo la Texas.


Barbara Bush, mke wa Rais mstaafu wa Marekani George H.W. Bush alifariki Aprili 17, 2018 akiwa na umri wa miaka 92.
Marehemu Barbara atazikwa katika eneo la Maktaba ya Bush huko chuo kikuu cha Texas A&M kilichopo kilomita 160 kutoka Houston, ambapo mtoto wao Robin aliyekufa akiwa na miaka mitatu amezikwa.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG