Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 12:53

Mambo yaliyojiri baada ya Bobi Wine kushikiliwa na vyombo vya usalama Uganda

Mbunge wa Kyadondo Robert Kyagulanyi amefunguliwa mashtaka upya Alhamisi na serikali ya Rais Yoweri Museveni nchini Uganda kwa kutuhumiwa kuhusika na vitendo vya uhaini.

Kesi hiyo imekuja muda mfupi baada ya mahakama ya kijeshi kutupilia mbali kesi ya kumiliki bunduki na risasi na kumwachia huru. Wananchi wa nchi jirani ya Kenya wamefanya maandamano kushinikiza serikali ya Uganda kumwachia huru msanii na mwanasiasa huyo. Haya ni baadhi ya matukio yaliyojiri katika maandamano nchini Kenya.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG