Wananchi wa Mali walipiga kura Julai 28, 2013 kwa wingi ambao unaweza kuwa ni rekodi katika nchi ambayo upigaji kura haujakuwa zaidi ya asilimia 40.
Mali yasubiri matokeo ya uchaguzi wa rais
1
Watu wakiangalia majina yao kwenye orodha ya wapiga kura huko Kidal, Mali, muda mfupi baada ya vituo kufunguliwa July 28, 2013.
2
Wafanyakazi wa uchaguzi wakihesabu kura katika kituo kimoja Kidal, Mali, July 28, 2013.
3
Mwanamke raia wa Mali akiwa na kadi yake ya kupigia kura mjini Bamako, Mali, July 28, 2013.
4
A man is patted down by a United Nations peacekeeper outside the main polling place in Kidal, Mali, July 28, 2013.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017