Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 10:21

Mahojiano na Ismail Jusa afisa muandamizi wa ACT Wazalendo


Mahojiano na Ismail Jusa afisa muandamizi wa ACT Wazalendo
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:25 0:00

Ismail Jusa anasema ni baada ya ushauriano na kutafakari juu ya maoni ya wanachama, ndipo uwongozi wa ACT Wazalendo utamua kujiunga au la na serikali ya umoja wa kitaifa kama inavyohitajika na katiba.

Naibu mwenyekiti wa chama cha upinzani cha ACT Wazalendo visiwani Zanzibar Nassor Mazrui, ameachiwa huru kwa dhamana baada ya kushikiliwa na polisi tangu siku ya pili baada ya uchaguzi mkuu hapo tarehe 28 Octoba.

Makundi

XS
SM
MD
LG