Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 16:57

Maandamano kutaka hatua kuchukuliwa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa

Mjini London Polisi waliwakamata wanaharakati 276 wa kundi la Extinction Rebellion kwa kufunga njia kuu ya jijini London siku ya jumatatu wakati kundi lake likifunga njia muhimu mjini London, Berlin na Amsterdam Oct 7 2019 wakianza malalamiko ya wiki nzima kutaka hatua kuchukuliwa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani..


Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG