Baada ya kupoteza mifugo yao, wakazi wa eneo la Karamoja, Uganda wanageukia uchimbaji wa kiwango kidogo cha dhahabu kuweza kumudu maisha yao duni.
Uchimbaji dhahabu unaongezeka Karamoja Uganda
![Mchimbaji anatumia chuma kuchimba mchanga, ambao atakusanya na kuchanganya na maji na kung'uta ili kupata dhahabu, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)](https://gdb.voanews.com/a3e4c2e3-55f1-4386-8740-a03fdaacd0e3_w1024_q10_s.jpg)
1
Mchimbaji anatumia chuma kuchimba mchanga, ambao atakusanya na kuchanganya na maji na kung'uta ili kupata dhahabu, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)
![Familia ya Livinstone Ekiru iliwahi kuwa na mifugo mingi kabisa, lakini hivi sasa anajaribu kukidhi mahitaji ya maisha kwa kutafuta dhahabu,March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)](https://gdb.voanews.com/199e6a37-92dc-455e-9ffb-2afad049174f_w1024_q10_s.jpg)
2
Familia ya Livinstone Ekiru iliwahi kuwa na mifugo mingi kabisa, lakini hivi sasa anajaribu kukidhi mahitaji ya maisha kwa kutafuta dhahabu,March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)
![A Mtu na mkewe ndani ya shimo walochimba kwa mikono yao huko Karamoja, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)](https://gdb.voanews.com/dd506166-9c3b-407c-a345-2d1e31b71552_w1024_q10_s.jpg)
3
A Mtu na mkewe ndani ya shimo walochimba kwa mikono yao huko Karamoja, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)
![Wachimba mgodi wawili wakiyenyeji wachimba shimo katika eneo la mto ulokauka huko Karamoja, Uganda, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)](https://gdb.voanews.com/ea83805a-9813-4ef3-ac72-2406ff97be8a_w1024_q10_s.jpg)
4
Wachimba mgodi wawili wakiyenyeji wachimba shimo katika eneo la mto ulokauka huko Karamoja, Uganda, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)